Sunday 17 June 2007

Ajali mbaya ya Singida: Maharusi wateketea

From IPP Media, Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, PST - Singida

Wakati taifa bado limegubikwa na msiba mzito uliotokea jana kufuatia basi la abiria kupinduka na kisha kulipuka na kutetekea kabisa, imebainika kuwa miongoni mwa waliopoteza maisha ni wapenzi wawili waliokuwa wakielekea kwao Mwanza kufunga ndoa.

Habari zilizopatikana kutoka kwenye tukio zinasema wawili hao walikuwa wanakwenda kukamilisha shughuli hiyo kwa wazazi baada mambo yote kuandaliwa Jijini Dar.

Read more:

http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/06/16/92686.html